1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114
1 Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.2 Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.3 Atauingia Moto wenye mwako.4 Na mkewe, mchukuzi wa kuni,5 Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Top ▷
Top