1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114
1 Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?2 Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?3 Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,4 Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,5 Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
Top ▷
Top